Ta Ha 20:62 فتنازعوا امرهم بينهم واسروا النجوى ٦٢
فَتَنَٰزَعُوٓاْ
أَمۡرَهُم
بَيۡنَهُمۡ
وَأَسَرُّواْ
ٱلنَّجۡوَىٰ
٦٢
Basi wakazozana kwa shauri yao wenyewe kwa wenyewe, na wakanong'ona kwa siri.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hapo wachawi walivutana na wakizungumza kwa siri kuhusu mambo yao. Walisema, «Kwa kweli, Mūsā na Hārūn ni wachawi,